Email: info@jkuz.go.tz  |  P.o.Box: 985  |  Tel: 0242238030  |  Fax: 0242232149


Logo
HABARI ZA WAKALA WA ULINZI WA JKU

KUHUSU WAKALA WA ULINZI WA JESHI LA KUJENGA UCHUMI(JKU SGA)

Created at 1 year ago

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Kifungu Namba9 (1) cha Sheria ya Uwakala wa Ulinzi wa JKU Zanzibar Namba 2 ya mwaka 2015, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein amemteua LT.COL. JABIR HAJI HAMZA kuwa MKURUGENZI MTENDAJI WA UWAKALA WA ULINZI WA JKU ZANZIBAR.

Uteuzi huo unaanzia tarehe 03 Agosti, 2017. 


JKU YAFANYA KAZI USIKU NA MCHANA KATIKA UJENZI WA MRADI WA SOKO LA MWANAKWEREKWE

MKUU WA WILAYA YA MJINI AKABIDHIWA MRADI WA MAJENGO YA WAJASIRIAMALI NA JESHI LA KUJENGA UCHUMI

MSARAKA AIPONGEZA JKU KWA KUKAMILISHA MRADI WA UJENZI WA MAJENGO YA WAJASIRIAMALI MATUMBAKU


WASILIANA NASI
  • Email: info@jkuz.go.tz
  • P.O.Box: 985
  • Fax: 0242232149
  • Tel: 0242238030
WALIOTEMBELEA TOVUTI